H
Mama akiimba kwa hisia wakati wa uzinduzi wa wimbo wake wa ‘Kidogo’
katika ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo.
H Mama ambaye jina lake halisi ni Flora Mvungi, ni mke wa mwanamuziki H
Baba.
H Mama akifanya yake na kipenziye H Baba.
H Baba akianza ‘machejo’ kwa mbwembwe.
Prince Dully Sykes akikamua na Rashida Wanjara.
Mwanamuziki Pasha akiimba na kucheza sambamba na shabiki aliyeshindwa kuzuia mzuka wake.
Mtandao
wa GHAFLA wa Kenya umewaweka ulingoni nyota wa Tanzania Diamond
Platnumz na Hussein Machozi kwa kupambanisha wimbo wa ‘Mdogo Mdogo’ wa
Platnumz, na wimbo ‘mpya’ wa Machozi ambao bado haujatoka wenye jina
hilo hilo ‘Mdogo Mdogo’.

“Is This Beef in the Making??” Ndivyo umeuliza mtandao huo kwenye kichwa cha habari hiyo.
“Hussein Machozi has chucked another tune dubbed Mdogo mdogo which surprisingly shares the same name with Diamond’s Mdogo mdogo barely 3 months after the latter dropped his. The BIG QUESTION could this be a drive to prove Diamond wrong? If you listen to this tune by Hussein Machozi its crystal clear that it is a big tune but do i say? “ Hivi ndivyo ilivyoandikwa na mtandao huo.
GHAFLA wameongeza kuwa kuna tetesi kuwa Hussein Machozi na Diamond hawapikiki chungu kimoja.
Iskilize ‘Mdogo Mdogo’ ya Hussein Machozi

“Is This Beef in the Making??” Ndivyo umeuliza mtandao huo kwenye kichwa cha habari hiyo.
“Hussein Machozi has chucked another tune dubbed Mdogo mdogo which surprisingly shares the same name with Diamond’s Mdogo mdogo barely 3 months after the latter dropped his. The BIG QUESTION could this be a drive to prove Diamond wrong? If you listen to this tune by Hussein Machozi its crystal clear that it is a big tune but do i say? “ Hivi ndivyo ilivyoandikwa na mtandao huo.
GHAFLA wameongeza kuwa kuna tetesi kuwa Hussein Machozi na Diamond hawapikiki chungu kimoja.
Iskilize ‘Mdogo Mdogo’ ya Hussein Machozi