Msanii
wa muziki wa kizazi kipya Bongo, Baby Joseph Madaha amenusurika kubakwa
nchini Kenya baada ya kupanda jukwaani akiwa ametinga kivazi cha nusu
utupu.
Tukio
hilo lilitokea Jumamosi iliyopita katika mji wa Naivasha uliopo Nairobi
nchini humo ambapo mwanadada huyo alipopanda jukwaani akiwa amevaa
sketi fupi iliyokuwa imeacha sehemu kubwa ya mapaja wazi, wanaume
wakware walianza kumvutia chini kwa nguvu.
“Nusura Baby Madaha abakwe, wanaume wakware walishindwa kuvumilia, palepale jukwaani wakaanza kumvuta huku wengine wakimng’ang’ania paja lake lakini aliokolewa na mabaunsa vinginevyo tungekuwa tunaongea mengine,” kilisema chanzo.
“Nusura Baby Madaha abakwe, wanaume wakware walishindwa kuvumilia, palepale jukwaani wakaanza kumvuta huku wengine wakimng’ang’ania paja lake lakini aliokolewa na mabaunsa vinginevyo tungekuwa tunaongea mengine,” kilisema chanzo.
Mpekuzi imezinasa picha kadhaa zinazomuonesha Baby Madaha akiwa anang’ang’aniwa na wanaume tofauti huku wengine wakimchungulia sehemu zake ‘muhimu’ pamoja na kumshika mapaja yake.
“Kweli ilikuwa ni hatari siku hiyo maana wanaume waliniganda balaa kila nilipokuwa naimba jukwaani walikuwa wakinivutia kwa huku chini walikokuwa wamesimama lakini niliokolewa na mabaunsa, hata hivyo shoo ilikuwa na mzuka sana,” alisema Baby Madaha.
Kwenye shoo hiyo iliyokuwa na nyomi ya kutosha, Baby Madaha alikamua vilivyo sambamba na wasanii wakali kutoka Kenya akiwemo Jua Kali na Wayree.

Baby Madaha akifanya shoo na kunengua jukwaani akiwa ametinga sketi fupi.

Baby madaha akizidi kuwapagawisha wakenya.

Wanaume wakiung’ang’ania mguu wa Baby madaha.

Baby Madaha akiwa ameanguka chini baada ya kuvutwa na watazamaji waliokuwa karibu na jukwaa.

Baby Madaha akipata akiwa na baadhi ya mastaa kutoka Kenya.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >