Habari Kali
Loading...

KUTOKA MORO AIBU! MKE WA MTU ANASWA AKIJIUZA KUSAKA FEDHA ZA KRISMASI

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Ni aibu iliyoje! Tabia ya wanawake kujiuza kwa kisingizio cha kusaka fedha kwa ajili ya Sikukuu ya Krismasi imewatokea puani wanawake zaidi ya kumi akiwemo mke wa mtu baada ya kunaswa mawindoni na kutiwa nguvuni.
Makamanda wa Polisi pamoja na kikosi cha OFM wakiwataiti wanawke waliokuwa wakijiuza.
Tukio hilo la aibu lilitokea katika msako maalum wa polisi waliotoa kolabo kwa Oparesheni Fichua Maovu (OFM) ya Global Publishers, uliofanyika katika eneo ‘korofi’ la ltinga, Msamvu Kata ya Mwembesongo mkoani hapa, wikiendi iliyopita.
Wanawake hao wakiwa chini ya ulinzi mkali.
Awali, Kamanda wa OFM mkoani hapa alipokea malalamiko lukuki kutoka kwa wananchi waishio jirani na eneo hilo waliokuwa wakiwalalamikia wanawake hao kugeuza vibanda vyao vya simu kuwa gesti na kuvitumia kufanyia ngono usiku na kuzagaa kwa kondom kila sehemu.
Mke wa mtu (wa kwanza kushoto) akijificha kwa aibu.
Kabla ya msako, OFM iliwashauri kupeleka malalamiko hayo kwenye serikali ya mtaa na polisi.
Kabla ya kufanya oparesheni hiyo, shushushu wetu alifanya upelelezi na kubaini kwamba ni kweli wanawake hao huvitumia vibanda hivyo kama gesti.
Baada ya kujiridhisha, OFM na jeshi la polisi walipofika eneo hilo majira ya saa 5:00 usiku na kuwanasa wanawake hao kisha kuwasukumiza kwenye difenda na kwenda kuwasweka lupango kusubiri sheria ichukue mkondo wake.
...Wakitupiwa kwenye difenda ili kuchukuliwa hatua za kisheria.
Katika hali ya kushangaza, mmoja wa wanawake hao alikuwa akiomba msamaha kwa madai kwamba ni mke wa mtu hivyo mumewe akijua ishu hiyo atamtoa roho.
“Jamani mimi ni mke wa mtu, mume wangu alivyo mkali akijua nimekutwa huko atanimaliza,” alisikika mwanamke huyo.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top