Habari Kali
Loading...

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi.
Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani.
Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar, Esha alisema, alifikishwa hospitalini hapo juzi Jumatano akiwa na hali mbaya kufuatia ‘kuendesha’ ile mbaya.
“Nilifikishwa hapa nikiwa na hali mbaya, nilikuwa ‘naendesha’ sana hadi kufikia hatua ya kuishiwa nguvu, ilibidi wanichukue vipimo ili kujua tatizo.
Akihudumiwa Hospitalini.
“Baadaye wakaniambia nina uvimbe kwenye kizazi na UTI, yaani dah! Naomba Mungu anisaidie na naomba mashabiki wangu pia waniombee nipone,” alisema Esha.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top