Habari Kali
Loading...

MPENZI WANGU ANANILAZIMISHA ANIPIGE PICHA NIKIWA UCHI JAMANI...NIFANYEJE...??

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Naitwa Jack nina miaka 22, ni mwanafunzi wa mwaka wa pili chuo kimoja hapa dar. Nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae kwa muda wa miezi 6 sasa, hapo mwanzoni mpenzi wangu alikuwa ananipenda na kuniheshimu sana na alikuwa akinisikiliza.
Kama wiki mbili sasa amekuwa na tabia ya ajabu sana, kila tunapokutana faragha amekuwa akinilazimisha kunipiga picha za uchi, me nimekuwa nikimkataria na kuwa mkali kwa nini anifanyie hivyo...??
Lakini yeye amekuwa akinilazimisha na kung'ang'ania sana mpaka anakasirika na kuondoka kabisa..
Sasa me simuelewi jamani naombeni ushauri wenu, nia yake ni nini huyu mwanaume, ana mapenzi ya kweli na mimi au la....???
USHAURI PLEASE maana hapa nilipo nimechanganyikiw kabisa

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top