Habari Kali
Loading...

AISHA BUI: KUSHINDA MAISHA UWE MKAKAMAVU

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Stori: Mwandishi Wetu
MWIGIZAJI wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui, amesema ili kuyashinda maisha magumu Bongo, ni lazima uwe mkakamavu, kama yeye alivyolazimika kwenda kutengeneza filamu yake mpya ya Mshale wa Kifo, katika msitu wa kutisha ili kwenda tofauti na wengine.
Mwigizaji wa filamu anayekuja juu nchini, Aisha Bui.
“Nilijitoa maisha yangu kwa kuingia msituni kutengeneza filamu ya mapigano porini, kutafuta uhalisia, najua nina deni kwa wapenzi wa kazi zangu, wanajua kuwa mimi ni bora hivyo lazima niwe bora kila mwaka,”anasema mwigizaji huyo.
Alisema maoni mengi ya watu yanaonyesha wanakerwa na kila filamu kuigizwa mijini tu, hivyo yeye akajitoa ili aende sambamba na mahitaji ya mashabiki wake, kwa kwenda katika misitu ya Morogoro vijijini kuifanya filamu hiyo, aliyowashirikisha pia Mzee Chilo, Salim Ahmed ‘Gabo Zagamba’ na wengineo, kazi iliyofanywa  Yuneda Entertainment.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top