Habari Kali
Loading...

MWANAMKE WA KIGHANA AKAMATWA NA KILO 10 ZA MADAWA YA KULEVYA AKITOKEA TANZANIA

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Mfanyabiashara mwanamke wa Kighana (pichani) amekamatwa na kilo 10 za Heroin wakati akitokea Tanzania. Mercy Agyeman Prempeh (36) amekamatwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Kotoka wakati akitokea Tanzania. Polisi walimtaka mwanamke huyo kutambua mizigo yake uwanjani kutokana na sehemu aliyokuwa anatokea yaani Tanzania. 

Baada ya kuhojiwa na polisi alidai kuwa rafiki yake wa Kitanzania ndiye aliyempa mzigo huo ampelekee mtu asiyejulikana anayeishi katika jiji la Accra kwa ada ya Dola za Kighana 2,500. Amedai mwenye mzigo alitakiwa akutane nae hapo airpot na kumpatia kiasi hicho cha fedha lakini anaamini amengia mitini baada ya yeye kukamatwa.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top