Habari Kali
Loading...

Lulu afuta akaunti yake ya Instagram kufuatia kifo cha mtu aliyedaiwa kuwa mpenzi wake!

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Muigizaji wa filamu, Elizabeth ‘Lulu’ Michael mwenye wafuasi wengi kwenye Instagram, ameamua kujiondoa baada ya kushambuliwa kwa matusi na baadhi ya watu kufuatia kifo cha mtu aliyewahi kuwa mpenzi wake.

Kufuatia kifo cha kutatanisha cha Lusekelo Samson Mwandenga ‘Secky’, watu wengi walianza kumtukana Lulu wakimhusisha pia na kifo hicho huku pia wakipost picha zinazomuonesha alipokuwa na marehemu.

Hata hivyo mujibu wa Global Publishers, familia ya Secky imeweka wazi chanzo halisi cha kifo chake.

Familia hiyo imeeleza kuwa marehemu aliumizwa na kiti cha kioo akiwa kambeba mtoto wake nyumbani kwake kisha akapelekwa hospitali na baadaye kufariki dunia akiwa huko.

Katika hatua nyingine msanii mkongwe wa filamu, William Mtitu amefunguka na kuwataka watu kuacha kumshambulia Lulu kwa kitu ambacho hahusiki nacho.

“Lulu ni msanii mdogo sana kiumri na amepitia mitihani mikubwa sana katika maisha ambayo mimi na wewe kabda tusingeiweza kuikabili plz nawaomba tumuache kwa sasa inatosha jamani kumbukeni huyu ni binadamu na moyo kama nilivyokuwa mimi na wewe hivi utajisikiaje km utasikia lulu amejizulu kwa namna yeyote ile kutokana na maneno yako ya kumshambulia mitandaoni,” ameandika kwenye Instagram.

“Kumbukeni sisi ni banadamu atuijui leo yetu itaishaje wala kesho yetu itakuwaje? Plz inatosha sasa watanzania wenzangu. MTAARIFU NA MWINGINE.”

Miaka miwili iliyopita Lulu aliwahi kukaa jela kutokana na kushtakiwa kwa kumuua bila kukusudia Steven Kanumba aliyekuwa mpenzi wake.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top