Hii ni kwa mujibu wa picha inayoonekana kuwa iliwekwa kwenye ukurasa
wa Instagram wa Miss Tanzania huyo wa mwaka 2006 na ex wa Diamond
Platnumz.
Picha hiyo haipo tena lakini Zari alifanikiwa kuipata na kuiweka
kwenye ukurasa wake wa pili (zarithebosslady_) kuelezea alivyosikitishwa na kauli ya Wema kwenye
picha yake (Zari) isemayo ‘mimba my foot’.
Kwa mujibu wa urbandictionary.com msemo ‘my foot’ humaanisha: An exclamation that means that one believes the previous speaker’s statement to be untrue
Mrembo huyo wa Uganda anayetarajia kumzalia Diamond mtoto wake wa
kwanza, aliipost picha hiyo na kuifuta tena baadaye na kuandika:
"Astagafululah! May God Protect Zarimond and chibu junior #zaritlale #chibujunior #zarihassan #chibudangote"
"Astagafululah! May God Protect Zarimond and chibu junior #zaritlale #chibujunior #zarihassan #chibudangote"
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >



