Habari Kali
Loading...

SNURA ADAIWA KUMFICHA MWANAYE

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== > Stori: Mayasa mariwata na Hamida hassan/Risasi Mchanganyiko
MSANII nyota wa miondoko ya Mduara, Snura Mushi aliyekuwa kimya kwa muda mrefu kufuatia kuwa na ujauzito, amerejea jijini Dar akitokea Mbeya alikojifungua mtoto wa kiume, lakini kukiwa na madai kwamba anamficha mwanaye asionekane kwa watu.
Msanii nyota wa miondoko ya Mduara, Snura Mushi.
“Namshangaa sana huyu mwenzetu sijui anachomfichia huyo mtoto ni kitu gani, angeficha ujauzito watu tungeelewa labda sababu za uswahili, lakini mtu umeshajifungua unaogopa nini?” kilihoji chanzo chetu kilichodai kuwa Snura amejifungua mtoto wa kiume.
Mkali huyo wa kibao cha Majanga alitafutwa kwa simu yake ya mkononi, alitoa ushirikiano vizuri lakini alipoulizwa kuhusiana na madai hayo, aliruka kimanga, akidai kuwa yeye siyo Snura na kukata simu.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top