
Mwanariadha Oscar Pistorius.
MAHAKAMA nchini Afrika Kusini imemruhusu kiongozi wa mashitaka,
Gerrie Nel kukata rufaa dhidi ya hukumu ya Oscar Pistorius baada ya
kumuua mpenzi wake Reeva Steenkamp.
Kiongozi wa Mashitaka, Gerrie Nel.
Kesi hiyo, sasa itaanza kusikiliza katika mahakama ya juu zaidi
upande wa mashitaka ukitaka Pistorius ahukumiwe kwa kumuua mpenzi wake
kwa makusudi.
Jaji
Thokozile Masipa aliyemhukumu Pistorius, alisema hataruhusu rufaa dhidi
ya hukumu hiyo aliyoitoa ya miaka mitano dhidi ya Oscar mwezi Oktoba
mwaka huu.Gerrie Nel aliiambia mahakama kuwa hukumu hiyo ni ndogo sana ikilinganishwa na kosa la alilolifanya mwanariadha huyo maarufu wa Afrika Kusini.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >


