Stori: Musa MatejaWAKATI kila mtu akiamini mwalimu wake wa lugha ya Kiingereza ni Wema Sepetu ‘Madam’ staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameibuka na kudai aliyemfundisha lugha hiyo ni aliyekuwa mpenzi wake, Peniel Mungilwa‘Diamond aliwataka watu wote waliokuwa wakiamini Wema ndiye mwalimu wake wa ung’eng’e wafute imani hiyo kwani Penny ndiye mpango mzima.

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakati akiwa na 'Penny'.
“Ujue kila mtu huwa ana hisia zake na wengi wamekuwa wakiishi kwa
hisia, nimekuwa nikiambiwa kuwa Wema ana mchango mkubwa katika
uzungumzaji wangu wa Kiingereza jambo ambalo si kweli, aliyenifundisha
lugha hiyo kwa sehemu kubwa ni Penny maana aliniletea hadi mwalimu
ingawa nilikuwa nikimlipa mwenyewe,” alisema Diamond.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >


