Habari Kali
Loading...

UJUMBE MZITO WA MANENO ULIKOSEA NJIA KUTOKA KWA AFANDE SELE KWENDA KWA MAMA TUNDA, WAFICHUA MAKUBWA. SOMA HAPA

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Gazeti La Makorokocho limefanikiwa kudaka ujumbe mfupi wa maneno kutoka kwa Msanii Mkongwe wa Bongo Flava Afande sele uliokua umekusudiwa kwenda kwa mama watoto wake Bibie Asha a.k.a Mama Tunda waliyeishi kwa zaidi ya miaka 10 ujumbe huo ulipotea njia na kuangukia kwenye Mikono ya Snitch Mzuri wa Makorokocho, katika Ujumbe huo inaonekana Mama Tunda alikua anataka kwenda kwa Afande Sele pamoja na Watoto lakini Afande akawa anamsihi asiende kwa sababu atakua nje ya Mkoa wa Morogoro na Afande akamlaumu mwanadada huyo anayeitwa Asha kuwa amempotezea Muda, Mali na Nguvu zake nyingi sana kwa muda wote walioishi pamoja, Afande akaombwa aachwe alone. -

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top