Habari Kali
Loading...

SHAMSA AWANANGA MASTAA WANAOJIONA

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
MUUZA sura wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amesema wasanii wengi wenye majina makubwa wamekuwa wakiringia umaarufu wao na kuwadharau wengine jambo ambalo halina manufaa zaidi ya kuwashushia heshima.
Msanii wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford.
Akipiga stori na paparazi wetu, alisema kuna wasanii ambao ‘wametoka’ huwaonyesha dharau wenzao kwa kujivunia kujulikana kwao mbele ya jamii.
“Binafsi namthamini kila mtu, lakini utakuta mwingine hata unataka ufanye naye kazi, lakini kwa kujiona yeye ni staa zaidi basi hata muda mliopanga hatauzingatia akihisi utamnyenyekea, hiyo siyo maana ya ustaa watu wajitambue,” alisema bila kuwataja majina wahusika.
-GPL

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top