Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Mchemba amesema serikali imesimamisha malipo ya posho ya wabunge wote waliosusia vikao vya bunge juzi.
Pia, amesema wajumbe ambao ni watumishi wa umma, wataripotiwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi kwa ajili ya hatua za kinidhamu.
Alisema licha ya kuwa wajumbe hao wameshalipwa posho hizo hadi Aprili 26, mwaka huu, tayari amesitisha malipo hayo ambayo yalikuwa yapitie benki.
“Huku kwa
upande wa bunge taratibu za kuwalipa zilishakamilika, lakini kwa kuwa
malipo hayo yanapitia benki, nimeagiza wasitishe,’’ alisema.
Alisema malipo kwa wajumbe hao yatafanyika pale tu watakaporejea ndani ya bunge kuendelea na mchakato huo wa Bunge.
“Watakaolipwa posho kwa sasa ni wale wanaohudhuria vikao, hatuko pikiniki hapa, tunawalipa watu halafu hawataki kufanya kazi,” alisema.
Juzi, Livingstone Lusinde alisema kilichokosewa ni uamuzi wa bunge kulipwa kwa fedha za sikukuu, jambo ambalo limewafanya kususa na kuondoka.
Naye Said Mkumba alielezea kushangazwa na wajumbe hao walioamua kutoka nje, akihoji kwamba kwa nini hawakutoka siku mbili zilizopita, mpaka wamesubiri walipwe posho hadi ya Aprili 26, ndio waondoke.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >