Habari Kali
Loading...

Sentensi sita za NECTA kuhusu matokeo ya mitihani ya kidato cha nne 2015

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
February 18 baraza la mitihani Tanzania NECTA wametangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mwaka 2015 yafuatayo ni maneno matatu waliyosemwa na katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania NECTA Dk Charles Msonde.
“Katika mkutano maalum wa baraza wa 110 uliofanyika February 17 2016, baraza la mitihani Tanzania lilipitia taarifa ya matokeo ya kidato cha nne na maarifa uliofanyika tarehe 2 hadi 27 November 2015 na kuidhinisha kutangaza rasmi kwa matokeo hayo katika mitihani ya kidato cha nne 2015”
“Jumla ya watahiniwa 448382 waliandikishwa kufanya mtihani huo, wasichana ni 229144 na wavulana 219238 kati ya hao watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa wa shule walikuwa 394o65, wakati watahiniwa wa kujitegemea walikuwa 54317”
“Watahiniwa wa shule asilimia 96.71 walifanya mitihani na watahiniwa 14749 ambao sawa na asilimia 3.29 hawakufanya mtihani, watahiniwa wa kujitegemea 49333 sawa na asilimia 90.82 lakini watahiniwa 4984 sawa na asilimia 9.18 hawakufanya mtihani”
“Watahiniwa wa mtihani wa maarifa 19547 waliosajiliwa, lakini watahiniwa kati ya wale waliosajili 16162 sawa na asilimia 82.68 walifanya mtihani, lakini watahiniwa 3385 kati ya hao hawakufanya mtihani”
“Kwa jumla ya watahiniwa 272947 sawa na asilimia 67.53 ya watahiniwa waliofanya mtihani wa kidato cha nne wamefaulu mtihani, wasichana waliofaulu ni 131913 sawa na asilimia 64.84, wakati wavulana waliofaulu ni 141034 sawa na asilimia 71.09”
“lakini mwaka jana watahiniwa waliofaulu walikuwa  196805 sawa na asilimia 68. 33 hivyo ufaulu ukilinganisha na matokeo ya mwaka jana, ufaulu umeshuka kwa asilimia 0.8 ukilinganisha na matokeo ya mwaka 2014”

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top