Habari Kali
Loading...

Siasa Majibu yamenifikia kutoka ndani ya kikao cha Uchaguzi wa Meya wa Kinondoni Dar..

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Vichwa vya habari mfululizo vilisukuma habari Magazetini kuhusu ishu ya kukwama kwa uchaguzi wa Mameya wa Manispaa ya Ilala na Kinondoni Dar es Salaam… uchaguzi huo kwa mara ya kwanza uliahirishwa kutokana na mivutano mbalimbali ikiwemo pingamizi lililowasilishwa Mahakamani.
Mahakama ilitoa mwongozo kwamba Uchaguzi huo uendelee na Mameya wapatikane kazi ianze, ripoti kutoka ndani ya kikao cha Madiwani wa Kinondoni Dar imenifikishia taarifa kwamba Diwani wa Ubungo, Boniface Jacob amechaguliwa kuwa Meya wa Kinondoni na Diwani wa Tandale (CUF) Jumanne Amir Mbunju amechaguliwa kuwa Naibu Meya.

BONIFACE II 

src-milardayo--http://millardayo.com/fnc1601/

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top