Habari Kali
Loading...

Mambo matatu kutoka kwa Rais wa TFF leo, ruhusa ya Azam FC kwenda Zambia, Yanga kutofanya uchaguzi na msiba wa kiongozi …

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
January 28 Rais wa shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Jamal Malinzi alifanya mkutano na waandishi wa habari makao makuu ya shirikisho hilo na kutangaza msiba wa aliyekuwa mjumbe wa kamati ya utendaji ya TFF na Mwenyekiti wa Chama cha Mpira wa Miguu mkoa wa Simiyu Epaphra Swai.
Malinzi pia ametumia fursa hiyo kuomba radhi vilabu 15 vya Ligi Kuu kufuatia lile sakata linalopingwa na Simba la kuwapa ruhusa Azam FC kucheza mechi za kirafiki na kuahirishiwa baadhi ya michezo yao ya Ligi, kitu ambacho Simba wanahofu ya kuwa kuahirishwa kwa mechi hizo kunaweza kutengeneza mazingira ya kupanga matokeo.
“Kiukweli naomba nivitake radhi vilabu vyote 15 vya Ligi kwa kosa lililofanyika la kuwaruhusu Azam FC kwenda Zambia kucheza mechi za kirafiki, najua maamuzi yamefanyika mimi nikiwa Burundi, lakini kama kiongozi nakiri kosa kufanyika na naviomba radhi vilabu vyote, kuhusu Yanga kutofanya uchaguzi ukweli ni kuwa Yanga hawapo juu ya sheria na wanapaswa kuheshimu katiba yao na ya TFF” >>> Jamal Malinzi
swai
Epaphra Swai

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top