Headlines za makocha mbalimbali wa Ligi
Kuu Uingereza kufukuzwa zinaendelea kushika kasi ambapo hivi karibuni
ulimwengu ulishuhudia Kocha wa Swansea City Garry Monk akifukuzwa na Jose Mourinho akifukuzwa kuifundisha Chelsea.
Stori za mitandaoni za hivi karibuni ni zile zinazomzungumzia Kocha wa Manchester United Louis van Gaal
na hatma yake ndani ya klabu hiyo baada ya timu yake kuendelea kufanya
vibaya, hivyo kumekuwa na list ya makocha wengine wanaotajwa kurithi
nafasi yake mtu wangu.
Kupitia mtandao wa ‘The Telegraph’ pamoja na taarifa zilizopo ndani ya Manchester United zinatajwa, Kocha aliyefukuzwa kuifundisha Chelsea, Jose Mourinho yupo kwenye list ya makocha wanaotajwa kumrithi Van Gaal Man United. Mourinho alifukuzwa na Chelsea baada ya timu hiyo kuwa na mwenendo mbovu.

Jose Mourinho
Kocha mwingine anayetajwa ni Pep Guardiola ambaye anaifundisha klabu ya Bayern Munich inayoshiriki Ligi Kuu Ujerumani, kwani hivi karibuni alikataa kuongeza mkataba wa kuendelea kuifundisha FC Bayern Munich. Mkataba wa Gurdiola ndani ya Bayern unamalizika mwishoni mwa msimu wa 2015/2016.

Pep Guardiola
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >


