“Watanzania wanataka mabadiliko, wasipoyapata ndani ya CCM watayatafuta nje”. Hii ni moja ya kauli ambayo Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli, Edward Ngoyai Lowassa aliziongea Arusha May 30 2015 alipotangaza nia ya Kugombea Urais kupitia CCM.
CCM
ilikuwa na Wagombea zaidi ya 40
ambao walitangaza nia na kuchukua fomu za Kugombea Urais 2015 lakini
baadae Chama hicho kikampitisha Dk. John Pombe Magufuli kugombea nafasi
hiyo, baada ya hapo kukawa na taarifa nyingi sana kuhusu ishu ya Edward
Lowassa na UKAWA.
Viongozi
wa Umoja wa UKAWA wamekutana Dar leo na mmoja wa Viongozi hao, James
Mbatia amesema wamekubaliana kumkaribisha Mbunge Edward Lowassa ndani ya
UKAWA na wako tayari kumpa nafasi na kushirikiana nae.Mbatia ameongeza kuwa Lowassa ni mchapa kazi makini na mfuatiliaji wa karibu wa kiutendaji katika majukumu anayokabidhiwa.
Alipoulizwa kuwa Lowassa atakuwa mgombea Urais Mbatia amesema kila chama kina utaratibu wake hivyo mchakato ukishakamilika atatangazwa mgombea urais wa UKAWA mmoja mwanzoni mwa mwezi agosti.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >





