Habari Kali
Loading...

UPDATES: KIJANA ALIYEKAMATWA AKIHISIWA NI GAIDI, CHUO CHA ARUSHA KUMBE NI MWANAFUNZI MWENZAO!

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Baadhi  ya  wanafunzi  wa  Chuo  Cha  SAUT Kilichopo  jijini  Mwanza  wamejikuta  wakiumia  vibaya  baada  ya  kuanza  kukimbia  hovyo  wakidhani  wamevamiwa  na  magaidi. Cha  kufurahisha  ni  kwamba  waliyekuwa  wanamkimbia  kumbe  alikuwa  ni  mwanafunzi  mwenzao....

Taarifa  kutoka  Chuoni  hapo  zinaarifu  kuwa  wanafunzi wa shahada ya uzamili katika biashara  walikuwa na mtihani leo, ghafla akaingia kijana wa Kisomali darasani. 
 
Wanafunzi  wote  waliokuwa  darasani pamoja  na  mhadhiri  walianza  kukimbia  hovyo, kila  mmoja  upenyo  wake  pasi  kujua  kwamba  waliyekuwa  wanamkimbia  ni  mwanafunzi  mwenzao  aliyekuwa  amekosea  darasa.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top