Habari Kali
Loading...

NHLANHLA NCIZA WA MAFIKIZOLO KUSAIDIA WAHANGA WA VURUGU AFRIKA KUSINI

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Nhlanhla Nciza.
MMOJA wa wanamuziki wanaounda Kundi la Mafikizolo la nchini Afrika Kusini, Nhlanhla Nciza, ametangaza uamuzi wake wa kusaidia familia zilizokimbia makazi yao kutokana na vurugu zinazoendelea nchini humo.
Vurugu zikiendelea katika Mji wa Durban, Afrika Kusini.
Ni wiki ya pili sasa tangu Afrika Kusini ikumbwe na vurugu zinazoambatana na mauaji zinazosababishwa na makundi ya watu wenye silaha ambayo yanawalaumu wahamiaji wa Kiafrika kwa kuchukua kazi zao.
Nhlanhla amelaani mauaji hayo na kupitia akaunti yake ya Instagram hivi karibuni amewaomba mashabiki wake, marafiki na wengine wote kuungana katika kuwasaidia wahanga wa vurugu hizo zinazoendelea.
Rais nchi hiyo, Jacob Zuma amesitisha ziara yake ya nchini Indonesia ili kukabiliana na vurugu hizo huku akiwatembelea watu walioathirika.


BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top