Habari Kali
Loading...

MWILI WA KAMANDA WA ISIS WAKABIDHIWA KWA WIZARA YA AFYA YA IRAQ LEO

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Mwili wa marehemu Izzat Ibrahim al-Douri baada ya kukabidhiwa kwa Wizara ya Afya, Baghdad leo.
Izzat Ibrahim al-Douri enzi za uhai wake.
Maofisa wa jeshi wakiwa wamebeba mwili wa Izzat.
Wanaharakati wakiangalia mwili huo, huku wanahabari wakichukua picha.
SERIKALI ya Iraq leo imekabidhi mwili wa Izzat Ibrahim al-Douri (72) kwa wizara ya Afya ya Iraq  kwa uchunguzi zaidi.
Mwili huo ulitembezwa katika gari kwenye mitaa mbalimbali na kuonyeshwa moja kwa moja na Televisioni ya Irag.
Izzat alikuwa mfuasi wa Saddam Hussein na alikuwa Kamanda wa Kundi la ISIS na aliuawa katika mapigano na majeshi ya serikali kwenye Mji wa Tikrit, siku ya Ijumaa.
Marehemu Izzat ameacha watoto sita ambao ni Ibrahim al-Douri, Abla al-Douri, Ahmed al-Douri, Hamraa' al-Douri, Ali al-Douri, Houzan al-Douri

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top