Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimwapisha
George Mcheche, kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakati wa hafla fupi
iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam, leo mchana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akisaini
nyaraka wakati wa hafla fupi ya kumwapisha, George Mcheche, kuwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, kwenye hafla hiyo iliyofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam, leo mchana.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete, akimkabidhi
nyaraka za Serikali, George Mcheche, baada ya kumwapisha kuwa
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, wakati wa hafla fupi iliyofanyika Ikulu
jijini Dar es Salaam, leo mchana.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >


