Habari Kali
Loading...

Uliipata hii ya Rose Muhando? inaitwa jiwe….

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Rose Muhando 1Ni mamilioni ya Watanzania wanaguswa na kipaji cha mwimbaji Rose Muhando na ndio maana wamemfanya kuvunja rekodi za mara kwa mara kwenye mauzo ya nyimbo zake dukani na hata kwenye matamasha anayokwenda.
Rose Muhando ambae makazi yake ni Dodoma, amekua na mfululizo wa kutoa kazi zake chini ya mkataba na kampuni kubwa ya Sony na sasa kaiachia single yake ya pili chini ya studio za Sony Music Africa ambapo kama unakumbuka single yake ya kwanza ni ‘Wololo’ kwenye hii album ya Yesu Kung’uta chini ya usimamizi wa Rock star 4000 ambazo zote hizi zimepatikana kupitia mkito.com
mkito.com ni mtandao ambao ni mwepesi kuingia na kuutumia kama vile kudownload au kusikiliza wimbo wowote uliopo lakini vilevile ni website ambayo inasaidia kunyanyua vipato vya Wasanii kwa kupata malipo kila nyimbo zao zinaposikilizwa au kuwa downloaded hivyo karibu umuunge mkono msanii wako kwa kubonyeza >>>> HAPA

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top