Habari Kali
Loading...

DAVIDO NDANI YA DAR ES SALAAM

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Msanii kutoka nchini Nigeria Davido (wa kwanza kutoka kushoto) akiwa sehemu ya VIP na baadhi ya jamaa zake muda mfupi baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere usiku wa kuamkia leo.
Baadhi ya mapaparazi wakiwajibika kupata picha za matukio ya ujio wa Davido kwenye Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere muda mfupi baada ya kuwasili akitokea nchini Nigeria.
Mtangazaji wa Clouds TV, Lady Haha (kushotoi), akifanya mahojiano na Davido muda mfupi baada ya kuwasili jijini Dar es Salaam.
Mwandishi wa Habari wa Global Publishers LTD, Musa Mateja (kushoto), akiwa na Davido muda mfupi baada ya kutua jijini Dar es Salaam.
Davido akionyesha tisheti yenye maneno ya kauli mbiu ya tamasha la Serengeti Fiesta 2014, mara baada ya kukabidhiwa na mmoja wa wahusika wa tamasha hilo.
Davido (wa pili kutoka kushoto) akijadiliana jambo na wenzake baada ya kutua kwenye Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, usiku wa kuamkia leo.
Davido akizungumza jambo na meneja wake sehemu ya VIP ya Uwanja wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere mara baada ya kutua nchini Tanzania.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top