Habari Kali
Loading...

SANDRA: NACHUKIA UKE WENZA, INGAWA DINI YANGU INARUHUSU

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

MKONGWE kwenye sanaa Bongo, Salama Salmin ‘Sadra’ amesema kuwa hakuna kitu anakichukia maishani kama uke wenza.
Mkongwe kwenye sanaa ya maigizo Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’.
Akipiga stori na mwandishi wa gazeti hili, Sadra ambaye tayari ni mke wa mtu, alisema anajiamini kwa kila jambo ambalo analifanya katika maisha yake na hayupo tayari kukubali kabisa suala la uke wenza kwani anapenda awe peke yake.
“Sipendi uke wenza ingawa dini ninayoiamini (uislamu) inaruhusu na ninamuomba Mungu jambo hilo lisinikute ili niendelee kufurahia maisha yangu ya ndoa,” alisema Sadra.
  

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top