KUNDI
maarufu la vichekesho ambalo kwa sasa ni kama halipo, limepata pigo
kubwa baada ya aliyekuwa meneja wao, mtangazaji nyota wa zamani wa
televisheni, Christina Mosha maarufu kama Seven, kuwamwaga na hivyo
kuachana nao.
Akizungumza
na mwandishi juzikati, Seven alisema ameachana nao baada ya mkataba
wake wa sasa kumzuia kufanya kazi na watu wengine zaidi ya walio chini
ya mwajiri wake mpya.
“Hivi
sasa niko na Sony, wao wananizuia kufanya kazi na wasanii ambao hawako
nao, hivyo baada ya mkataba wangu na wao kumalizika, nimeamua kuachana
nao.
“Mimi
ni mwakilishi wa Sony barani Afrika, ninashughulika na wasanii toka
nchi tofauti za Afrika, kama Senegal, Kenya na kwingineko kasoro Afrika
Kusini,” alisema.
Aliyekuwa
meneja wa kundi la Ze Comedi, mtangazaji nyota wa zamani wa
televisheni, Christina Mosha maarufu kama Seven akifafanua jambo.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >



