Habari Kali
Loading...

Nick Cannon Athibitisha kuachana na Mariah Carey

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== > Mchekeshaji Nick Cannon amethibitisha kuwa yeye na mkewe Mariah Carey walitengana miezi kadhaa iliyopita na kwamba hakuna maelewano tena katika nyumba yao.

Nick amemwambia mtu wa ndani wa E! kuhusu hilo huku akificha maelezo ya chanzo cha kutengana kwao na kwamba hivi sasa anafikiria zaidi kuhusu watoto wao mapacha wenye umri wa miaka mitatu.

“Hivi sasa, focus yangu kubwa ni kwa watoto wangu.” Ameeleza.

Taarifa zinaeleza kuwa chanzo cha ugomvi wao ni pale ambapo Nick Cannon alipofanya mahojioano na Power 106 na kueleza kuhusu maisha yake ya nyuma katika uhusiano na wasichana aliowahi kutoka nao.
canon

Nick alieleza hewani kuwa aliwahi kutoka na wasichana wengi maarufu, wanamuziki na wanamitindo na miongoni mwao akawataja Christina Milian na Kim Kardashian.

Mbali na hapo aliitaja siku ya kwanza kufanya mapenzi na Mariah Carey ambapo alidai kuwa alipewa sharti la kufunga ndoa kwanza ndipo mengine yaendelee. Hivyo alilichuma tunda la mkewe kwa mara ya kwanza usiku baada ya kufunga pingu za maisha.

Maelezo hayo ndio mwiba uliochoma uhusiano wake na kuleta mvurugano huku ikielezwa kuwa Mariah alianza kumtumia hadi walinzi kumlinda dhidi ya wasichana alipokuwa katika kazi zake za ushereheshaji.

Inaripotiwa kuwa wawili hao tayari wameshafanya makubaliano ya talaka na taratibu zinaendelea ila kila mmoja aendelee na maisha yake.

Nick Cannon na Mariah Carey wafunga ndoa mwaka 2008 wiki chache baada ya kutangaza uhusiano wao rasmi.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top