Habari Kali
Loading...

JOHARI ATOA SOMO LA UZAZI NA NDOA KWA WASANII WENZAKE WA KIKE

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

SOMO! Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’, ametoa somo kwa baadhi ya wasanii wa kike ambao wamekuwa wakijibweteka na kushindwa kudumisha upendo kwa wapenzi wao baada ya kujifungua.
Staa wa filamu Bongo, Blandina Chagula ‘Johari’.
Akipiga stori na paparazi wetu, Johari alisema miongoni mwa vitu ambavyo huwashushia upendo wanawake wengi ni uchafu baada ya kuzaa na kujikita na malezi kuliko kuwathamini wapenzi wao ndiyo maana ameamua kutoa filamu ya Mke Mchafu inayowagusa mabinti.
“Ujue kuna watu wanavunja ndoa zao kwa mikono yao wenyewe kutokana na mambo kama haya na wapo hata wasanii ambao wanafanya haya mambo, yaani mtu unaingia kwenye nyumba hutamani hata kuomba maji ya kunywa, nafikiri watabadilika kupitia filamu yangu itakayotoka soon,” alisema Johari.
    

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top