Habari Kali
Loading...

BAADA YA UVUMI KUWA LULU AMEMWAGWA NA BEDEJEE WAKE KWAKOSA LA KUCHEPUKA …..NA HIVYO KUNYANNG’ANYWA GARI…..LULU AIBUKA NA KADI ORIGINO YA GARI HILO..SOMA MKASA MZIMA…

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== > Picha Lilianza Hivi Huko Instagram:

Baada ya siku za hivi karibuni Lulu Kuposti picha akiwa najamaa ambaye kajifunika kofia ambaye ilisemekana kuwa ndio jamaa anaekula MUZIGO…

Chokochoko Leo hiii Toto La Kimanga aliibuka nahii huko instagram;




"BbuahahahAaaaa hizi picha zasababisha mdogo wetu kupigwa chin....... Kaa namie nikupe umbeaaa...... Bishost unanijua una kibopa kinachokuweka mujin bila aibu unapost picha na kiserenget bwoy chako unategemea nn??? sasa tutakimbizana na bajaji wallah nahayo ndo madhara yakupewa mkoko without kadi uwiiiiiiiii ukiachwa unanyanganywa kila kitu... haya mereran chali... tmt naye kakupa kibuti poule my toto jamwaaaniii Naskia mshikaji kasharudiana na husna wakesasa sura yako unaiweka wapi mama Wallah sikuile ningekuwa na ndoo ningejaza machoz yako pale kibo complex usikate tamaa kila jambo linasababu yake lol Ulisema tupande milimao eeeh mie yangu na matunda yashaazaa kabisa mixture kutengeneza juise ya limaooooo .......baadae wapendwa"


Lulu akajibu..... Akatupia picha ya Kadi ya gari na kuandika;



"Sema nn...Leo imebidi tu niwe mswahili...akha...Alafu Wangu...we ndo nilikuwa nakuaminia kwa habari za uhakika sema Leo umeniangusha...!������My followers nisameheni bure....ntafuta baada ya muda kdo..! #OwnerDetails Hv Kwani google haisaidiagi kujua mambo madogo madogo Kama haya!??? Jina la kwenye cheti cha kuzaliwa hiloooo...�� Tuendelee kumwagia milimao,mimbilimbi alafu tupande na ukwaju kbsaaa...! ����mpk najishtukia cjawahi kufanya hz mambo...sema Leo ndo mwanzo na mwisho....Wallah tena.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top