Habari Kali
Loading...

WACHINA WAKAMATWA NA MAKOMBE FEKI YA KOMBE LA DUNIA ZAIDI YA 1,000

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

article-2606822-1D27D1F700000578-902_634x420 

Maofisa wa kuzuia bidhaa zisizo na hati miliki nchini China wamekamata makombe feki  ya kombe la dunia zaidi ya 1,000 katika ghala ya kampuni moja kubwa ya utengenezaji na usafirishaji wa baidhaa
Just like the real thing? The mementos found in Yiwu city were due to be exported to Libya 
Kama makombe halisi?, mzigo huu umekamatwa katika mji wa Yiwu tayari kwa safari ya kwenda nchini Libya
Golden: With a group including Uruguay and Italy, the fakes could have been England's best shot at glory 
NDOTO ya mashabiki wa timu ya Taifa ya England `Simba watatu` ni kunyanyua kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.
 Lakini suala hili limechukua sura mpya na shukurani za dhati ziwaendee viongozi wa desturi wa China waliofanikisha kukamata mzigo feki.
 Nchi ya China imekamata makombe feki ya kombe la dunia zaidi ya elfu moja ( 1,000) katika ghala ya kampuni moja kubwa ya usafirishaji nchini humo.
 Makombe hayo feki 1, 020  ya kombe la dunia yamekamatwa katika mji wa Yiwu, jimbo la Zhejiang, ambalo ni moja ya miji mikubwa ya usafirishaji wa bidhaa duniani.
 Makombe hayo feki kwa asilimia kubwa yanafanana na makombe halisi ya FIFA na yalikuwa tayari kusafirishwa kwenda nchini Libya.
 Mkurugenzi wa desturi wa China mwenye mamlaka ya kuzuia nyara zisizohalali alianzisha kampeni mwezi huu wa nne ili kukamata bidhaa zote feki zilizotengenezwa kuelekea kombe la dunia bila kuwa na hati miliki.
Kombe la dunia nchini Brazil linatarajia kuwa na biashara kubwa, na China wameshakamati dili hili na viwanda vyake vimetengeneza bidhaa nyingi za kombe hilo, lakini kuna wajanja wachache wanaotaka kujinufaisha bila ya hati miliki.
 Nahodha wa England Steven Gerrard  ana matumaini ya kubeba kombe halisi mwaka huu nchini Brazil ambapo wapo kundi moja na mataifa ya Italia, Costa Rica na Ur

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top