Habari Kali
Loading...

PICHA 5 ZA TUKIO: MWANAMKE AJERUHIWA KWA KUGONGWA NA DALADALA URAFIKI, DAR

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
 MWANAMKE mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja akiwa ni mkazi wa Dar leo asubuhi aligongwa na gari aina ya Toyota Coaster inayofanya shughuli za daladala kwenye barabara za Morogoro jijini Dar es Salaam.
 Ajali hiyo ilitokea eneo la Urafiki jijini Dar es Salaam. Walioshuhudia tukio walisema majeruhi huyo alikuwa katikati ya barabara mbili akitaka kuvuka kuelekea eneo la kituo cha polisi cha Urafiki lakini bahati mbaya aliyumba na kudondokea daladala hiyo iliyokuwa nyuma yake ambayo ilimburuza kwenye ukingo wa barabara hiyo.Picha mbalimbali zikionesha Wasamaria wema wanavyomuokoa majeruhi huyo.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top