Habari Kali
Loading...

MWANAMKE ACHOMWA KISU MGONGONI AKIDAIWA KUCHUKUA MUME WA MTU

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
MARIAMU HUSSEIN akiwa na hali mbaya baada ya kuchomwa kisu mgongoni na kwenye paja wakati alipovamiwa na mwanamke mmoja ambaye inadaiwa kuwa Mariamu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mwanamke huyo.Katika mkasa huo ilielezwa kuwa Mariamu akiwa nyumbani kwao ghafla alifika mwanamke huyo na kudai kuwa amekuja
kutekeleza mauaji kwa kile kilichofahamika kuwa amekuwa akivumilia kwa muda mrefu kuchukuliwa mume wake pasipo kuleta fujo yeyote jambo ambalo lilionesha unyonge wa hali ya juu kwa mwanamke huyo ambaye alifika nyumbani hapo na kucharuka kama Mbogo aliyejeruhiwa na kuanza kufanya unyama huo.
Mwanamke aliyefanya unyama huo,alilazimika kukimbizwa Kituo Kikubwa cha Polisi Tabora,...Mariam akiwa hoi taabani huku damu ikiendelea kububujika kwenye jeraha kubwa la mgongoni.
Mpini wa kisu alichochomwa Mariamu ambapo inasadikiwa Mwanamke huyo baada ya kumpiga kisu cha mgongoni na kuingia,kilikatikia mgongoni na kumfanya Mariamu azidiwe na kupoteza fahamu.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top