BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >Loading...
MWANAMKE ACHOMWA KISU MGONGONI AKIDAIWA KUCHUKUA MUME WA MTU
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
MARIAMU
HUSSEIN akiwa na hali mbaya baada ya kuchomwa kisu mgongoni na kwenye
paja wakati alipovamiwa na mwanamke mmoja ambaye inadaiwa kuwa Mariamu
alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mwanamke huyo.Katika mkasa
huo ilielezwa kuwa Mariamu akiwa nyumbani kwao ghafla alifika mwanamke
huyo na kudai kuwa amekuja
kutekeleza mauaji kwa kile kilichofahamika kuwa amekuwa akivumilia kwa
muda mrefu kuchukuliwa mume wake pasipo kuleta fujo yeyote jambo ambalo
lilionesha unyonge wa hali ya juu kwa mwanamke huyo ambaye alifika
nyumbani hapo na kucharuka kama Mbogo aliyejeruhiwa na kuanza kufanya
unyama huo.
Mwanamke aliyefanya unyama huo,alilazimika kukimbizwa Kituo Kikubwa cha
Polisi Tabora,...Mariam akiwa hoi taabani huku damu ikiendelea
kububujika kwenye jeraha kubwa la mgongoni.
Mpini wa kisu alichochomwa Mariamu ambapo inasadikiwa Mwanamke huyo
baada ya kumpiga kisu cha mgongoni na kuingia,kilikatikia mgongoni na
kumfanya Mariamu azidiwe na kupoteza fahamu.
TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
CodeNirvana