Vikao vya Bunge Maalum la Katiba vitaendelea tena leo kwa kujadili sura ya 1 na ya ile ya 6 ya Rasimu ya Katiba licha ya baadhi ya wajumbe kususia kikao hicho jana jioni na kutoka nje ya ukumbi kwa kile walichodai ni kuchoshwa na matusi, dharau na ubaguzi .
Kauli
ya kuendelea kwa kikao leo ilitolewa usiku wa jana na Mwanasheria Mkuu
wa Serikali, Jaji Federick Werema kabla ya kuahirishwa kwa kikao cha
jioni cha Bunge hilo, wakati aliposimama kutoa hoja ya kutengua Kanuni
za Bunge Maalum la Katiba ili kuongeza muda wa kujadili sura hizo, kutoka 3 hadi siku saba.
Kabla
kutengua, Werema alisema mizaha katika Bunge hilo haina tija, hivyo
kususia kwa baadhi ya wajumbe hakuzuii kuendelea kwa majadala huo.
“Ninawaomba waliokubali kuendelea na mjadala huu tuwahi kesho,” alisema Jaji Werema.
Naye
Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samia Suluhu Hassan aliwataka wajumbe
hao kuwahi mapema saa 3:00 asubuhi ili kuendelea na kikao.
Kuhusu
ombi la mwongozo kutoka kwa mjumbe wa Bunge hilo, Mwigulu Nchemba
kuhusu kitendo na hatima ya wajumbe waliosusia kikao na kutoka
nje, Makamu Mwenyekiti huyo alisema itajulikana baaada ya Kamati ya
Uongozi wa Bunge Maalum la Katiba kukutana.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >