NAKUKUBALI! Mkongwe kwenye soko la
filamu za Kibongo, Fatuma Makongoro ‘Bi Mwenda’ amefunguka kuwa
anamzimika kinomanoma mkali wa Hip Hop Bongo, Joseph Haule ‘Prof Jay’
kutokana na tungo zake mahiri.
Bi Mwenda aliitoa kauli hiyo Jumatano
iliyopita katika hafla ya Uzinduzi wa Global TV Online iliyofanyika
katika Ofisi za Global Publishers, Bamaga-Mwenge ambapo wasanii
mbalimbali wa filamu na muziki akiwemo Prof Jay, Wema Isaac Sepetu
‘Madam’, Mahsein Awadh ‘Dk Cheni’, Issa Musa ‘Cloud 112’ na wengine
kibao walihudhuria.
“Oooh! Jamani ndiyo mara ya kwanza
namuona Prof. Jay kwa macho yangu, kiukweli nakubali sana kazi zake, ni
mtunzi mzuri, mwimbaji na hata nyimbo zake huwa zina ujumbe sana,’’
alisema Bi Mwenda.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >