Habari Kali
Loading...

ANGALIA PICHA MELI ILIYOKUWA NA WATU 470 ILIVYOZAMA NCHINI KOREA,WATU 3 MPAKA SASA WAMEFARIKI NA 300 HAWAONEKANI WALIPO NA 100 WAMEOKOLEWA.

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Terrifying: The South Korean ferry dangerously listed to one side while on its way to Jeju island about 100km south of the Korean peninsula

4
Zaidi ya watu 300 bado hawajapatikana baada ya meli kubwa iliyobeba watu 459 kuzama huko South Korea ambapo sehemu kubwa ya watu waliokuwemo kwenye meli hiyo ni wanafunzi na walikuwa wanasafiri kutoka kwenye bandari ya Incheon kwenda kwenye kisiwa cha Jeju.Watu watatu wamesharipotiwa kufariki licha ya watu zaidi ya 300 kutoonekana na 13 wametolewa kama majeruhi huku uokoaji zikiendelea ambapo hadi habari hii inawekwa shughuli za uokoaji zinaendelea na watu wengi wanaokolewa kupitia madirisha huku chanzo cha ajali kikiwa hakijajulikana.



Terrifying: The South Korean ferry dangerously listed to one side while on its way to Jeju island about 100km south of the Korean peninsula
Terrifying: The South Korean ferry dangerously listed to one side while on its way to Jeju island about 100km south of the Korean peninsula

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top