Jackline
Wolper amefunguka kuhusiana na moja ya shutuma zinazoendelea kumkabili
kila anapoamka. Mdada huyo mwenye kujituma sana amefunguka kuhusu
shutuma za kumuhusisha yeye na msanii mkali wa Hiphop , Ney wa Mitego.
Mwanadada huyo akiongea na Vibe Tanzania
alidai hajawahi kuwa hata na number ya Ney wa Mitego sasa akisikia
kwamba ana mahusiano na mwana Hiphop huyo anashangaa sana kwani hata
hajui maana halisi ya kuzagaa kwa maneno hayo yasiyo na maana wala
source.
Wolper
aliendelea kufunguka kwamba hayuko tayari kusikia uzushi huu ukiendelea
na wala hatowaacha wanaosambaza umbea huu kwani hajui nia yao. Msanii
huyo amekua akiandamwa na romours moja baada ya nyingine kwani alipewa
scandalz ya kusagana kabla haijapotea imeingia ya Ney wa Mitego huku
Wolper huyo huyo akihusiswa kuwa na mahusiano na G model.
Credit.Vibe
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >