Habari Kali
Loading...

Aunty Lulu aachana na mpenzi wake baada ya kushindwa kuvumilia kipigo….!!

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
LILE penzi la msanii wa filamu na mtangazaji, Lulu Mathias na mchezaji mpira wa zamani, Amani limesambaratika baada ya hivi karibuni mwanaume huyo kuondoka na kilicho chake huku akimwacha mwanadada huyo ndani ya nyumba peke yake.

Chanzo chetu makini kilisema kuwa, tukio hilo lilitokea hivi karibuni huko Majohe walipokuwa wakiishi wawili hao ambapo mwanaume huyo aliamua kuondoka na kurudi nyumbani kwao na kumuacha Aunty Lulu ndani ya nyumba hiyo waliyokuwa wamepanga.
Msanii wa filamu za Kibongo Lulu Mathias.
Msanii wa filamu za Kibongo Lulu Mathias.
Baada ya kuzipata habari hizo, paparazi wetu alimtafuta Aunty Lulu, akafunguka:
“Ukweli mimi na Amani tumeachana kwani kipigo kimenizidi kila kukicha isitoshe ndugu zake hawanipendi, nimebaki peke yangu kwenye nyumba tuliyokuwa tumepanga huku Majohe na yeye ameondoka na vitu vyake vyote, amerudi kwao.”

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top