May 23 2014 mwanamuziki kutoka kundi la muziki wa dance Tanzania Mapacha Watatu Khaleed Chokoraa ambae ni mshindi wa tuzo za KTMA pia, alitangaza rasmi kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM kwamba pamoja na kufanya muziki, sasa ni ramsi kwamba kazi yake nyingine mpya itakua ni ngumi za kulipwa ulingoni.
Kwa karibu miaka 7 anasema amekua akifanya mazoezi kujiweka sawa kimwili na kujiandaa kuwa bondia manake alikua anaona ndoto hii lazima itimie.
Kwa karibu miaka 7 anasema amekua akifanya mazoezi kujiweka sawa kimwili na kujiandaa kuwa bondia manake alikua anaona ndoto hii lazima itimie.
Kweli imetimia May 24 2014 ambapo alipambana na bondia kutoka Tanga (96.0 CloudsFM) Abdul Manyenza ambae alipigwa na Chokora kwenye round ya kwanza tu na hivyo msanii huyu kuvunja rekodi aliyoitangaza AMPLIFAYANI kabla kwamba anataka kupiga mtu kwenye round za kwanzakwanza tu.
VIDEO HAPO CHINI
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >