Msichana mmoja aliyetajwa kwa jina la Halima aliyedaiwa kuwa ni mchumba wa mtu, hivi karibuni alipata aibu ya aina yake baada ya kukutwa amezimika barabarani.
Tukio hilo lilitokea juzikati maeneo ya Kijitonyama jijini Dar ambapo ilidaiwa kuwa, binti huyo akiwa amevalia kimini alishuka kwenye Bajaj na kwenda kwenye hoteli iliyopo maeneo hayo bila kujulikana alikotokea.
Akizungumzia tukio hilo, mmoja wa mashuhuda aliyejitambulisha kwa jina la Stella alisema: “Huyu dada namjua, ana mchumba wake waliwahi kufika dukani kwangu kufanya ‘shopping’. Leo asubuhi alikuja hapa na kuuliza kama atapata maziwa, alikuwa amevaa kihasara, wakati tunaendelea kuongea naye, akaanza kulegea na kuanguka.
“Hatukujua kilichomfanya akose nguvu ila alionekana kama kalewa ndipo tulipomchukua na kumsitiri kwa kanga, ni kama saa moja sasa limepita hajazinduka.”
Waandishi wetu walipofika eneo la tukio walimkuta binti huyo akiwa hajitambui na alipomwagiwa maji ya baridi alizinduka na kusema; “hapa niko wapi, nimeaibika!”
Hata hivyo, wakati akijitahidi kuamka, alianguka tena na kuzimika hadi Polisi wa Kituo cha Mabatini walipofika na kumchukua kwenye gari lao aina ya Toyota Noah ambapo inadaiwa alipofika huko alizinduka tena na akawa chini ya uangalizi wa polisi kwa saa kadhaa.
BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >