Habari Kali
Loading...

"Sina Uhusiano Wa Kimapenzi Na Master J" - Shaa

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >



Shaa ambaye ni mwimbaji maarufu wa vibao vya Sugua Gaga na Subira  amekana kuwa na uhusuiano na producer maarufu wa muziki wa kizazi kipya Master J.
 
Akizungumza na jarida moja linalotoka kila mwezi Shaa amesema kuwa ameshangazwa na media kuandika ni wapenzi wakati yeye na master Jay wapo kikazi zaidi.


Hata hivyo wakati Shaa akiyasema hayo inadaiwa tayari familia ya Master J inamtambua kama mkwe wao na ameshatambulishwa.
 

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top