Habari Kali
Loading...

MHARIRI WA WASHINGTON POST AFARIKI

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Mhariri wa zamani wa gazeti la Washington Post, Ben Bradlee enzi za uhai wake.
Mhariri wa zamani wa gazeti la Washington Post,  Ben Bradlee aliyeongoza uhariri wa kashfa ya Watergate miaka ya 70 na iliyosababisha Rais Richard Nixon kuachia ngazi amefariki akiwa na miaka 93.
Ben aliwahamasisha waandishi wawili wa habari Bob Woodward na Carl Bernstein kufuatilia kashfa hiyo ambayo Rais pia alijikuta akihusika.
Rais wa Marekani, Barack Obama akimvalisha medali ya Uhuru, Ben Bradlee.
Habari iliyochapishwa na gazeti hilo baadae ilionekana pia katika filamu na hivyo kumpa umaarufu mkubwa sana mwandishi huyu nguli.
Ben Bradlee hadi anakumbwa na mauti amekuwa ni miongoni mwa watu wanaohesabika kufanya kazi zenye tunu na hasa uadilifu aliouonyesha, Bwana alitoa na sasa amtwaa Amen.
Mwaka 1971, Bradlee (kulia), akiwa na Katharine Graham (kushoto).

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top