Habari Kali
Loading...

HUYU NDIYE ALIYE MTUKANA RAISI NA KUSEMA AACHE BANGI ZAKE

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >
Screen Shot 2014-05-01 at 4.09.41 PM 
Sio jambo la kawaida mtu kujiamini na kumtukana Rais wa nchi na taarifa hiyo kuripotiwa kwenye vyombo vya habari lakini kwa Samuel Onkwami imekua rahisi kwake ila imemgharimu maana sasa hivi yuko kwenye sehemu atakayoshughulikiwa.
 Ni mwakilishi wa Wadi ya Kiogoro Kaunti ya kisii huko Kenya na sasa amefikishwa Mahakamani kwa tuhuma za kudai kwamba Rais Uhuru Kenyatta anavuta Bangi ambapo ishu ilianzia pale alipokaririwa Kanisani akihutubia na kusema ‘walio karibu na Rais Uhuru Kenyatta sharti wamshauri aache kuvuta Bangi’’
 Kiongozi wa mashtaka ameiambia mahakama ya kisii kwamba mwakilishi huyo wa wadi alitoa matamshi hayo katika kijiji cha karera na sheria inayo mshtaki mtuhumiwa inasema ni hatia kwa yeyote kutoa matamshi kama hayo kuhusu mtumishi wa umma  .
 Samuel ambae ni baba ya watoto watano anataaluma ya Teknolojia ya maabara kutoka chuo kikuu cha Teknolojia Mombasa na amewahi kuhudumu katika ofisi za hazina ya ustawishaji eneo Bunge kabla ya kuingia kwenye siasa mwaka wa 2007 na baadae kuchaguliwa mwaka uliopita kuwa mwakilishi wa Wadi.
 Screen Shot 2014-05-01 at 4.34.08 PM
 Mawakili wa mshukiwa ambao ni Gideon Nyambati na Isaiah Mosota wameiomba mahakama hiyo kumuachia huru mshukiwa kwa dhamana na kuomba upande wa mashtaka kuwapa ushahidi na malalamishi dhidi ya mteja wao ili kujiandaa vyema kwa ajili ya kutoa utetezi wao.
 Mshtakiwa ameachiliwa kwa dhamana ya shilingi 20,000 pesa za Kenya na Kesi hiyo itatajwa May 14 na kusikilizwa June 3 2014. Screen Shot 2014-05-01 at 4.27.10 PM

BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out: BONYEZA HAPA CHINI KUANGALIA MOVIE MPYA ZA BONGO== >

TOA MAONI YAKO KUHUSU HABARI HII.. HAPA CHINI
Newer Posts Older Posts
© Copyright DONDOO ZA HABARI | Designed By Code Nirvana
Back To Top